Wananchi wa Visiwani Zanzibar wakiwa katika maduka ya mtaa wa mchangani wakikamilisha mahitaji ya Watoto wao kwa ajili ya matumizi ya kusherehekea Sikukuu ya Eid el Firty, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati hiyo jana na kufunga mtaa huo na kukosa pa kutia mguu kwa wananchi walivyokuwa katika harakati hizo.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment