Wananchi wa Visiwani Zanzibar wakiwa katika maduka ya mtaa wa mchangani wakikamilisha mahitaji ya Watoto wao kwa ajili ya matumizi ya kusherehekea Sikukuu ya Eid el Firty, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati hiyo jana na kufunga mtaa huo na kukosa pa kutia mguu kwa wananchi walivyokuwa katika harakati hizo.
Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani
-
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania
kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment