NAIBU Katibu
Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Ali Khamis, akimkabidhi cheti Mwanasheria wa
Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Said Malik, baada ya kumaliza mafunzo
ya siku tano juu ya namna ya kuandaa na kutia saini mikataba mbalimbali ya serikali.
Hafla hiyo ilifanyika Juni 24, 2017 katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Zanzibar.
(Picha na Abdalla Omar-MAELEZO).
“KIBAMBA YA KISASA YAJA: KAIRUKI AAHIDI BARABARA, MAJI, ELIMU BORA NA AFYA
IMARA KWA WOTE.
-
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Anjela Kairuki amewahakikishia
wananchi wa mbezi kuwa barabara inayotokea mbezi kupitia mpiji magohe hadi
bu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment