NAIBU Katibu
Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Ali Khamis, akimkabidhi cheti Mwanasheria wa
Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Said Malik, baada ya kumaliza mafunzo
ya siku tano juu ya namna ya kuandaa na kutia saini mikataba mbalimbali ya serikali.
Hafla hiyo ilifanyika Juni 24, 2017 katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Zanzibar.
(Picha na Abdalla Omar-MAELEZO).
SMZ YATENGA BILIONI 34 POSHO YA NAULI KWA WAFANYAKAZI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amesema kuwa wafanyakazi wa SMZ wataongezewa posho ya shilingi
50,000 ya n...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment