NAIBU Katibu
Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Ali Khamis, akimkabidhi cheti Mwanasheria wa
Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Said Malik, baada ya kumaliza mafunzo
ya siku tano juu ya namna ya kuandaa na kutia saini mikataba mbalimbali ya serikali.
Hafla hiyo ilifanyika Juni 24, 2017 katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Zanzibar.
(Picha na Abdalla Omar-MAELEZO).
KATIBU MKUU ARDHI ARIDHISHWA NA KAZI YA UIMARISHAJI MPAKA WA TANZANIA NA
KENYA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM ROMBO*
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony
Sanga ameoneshwa kuridhishwa na kazi ya uima...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment