NAIBU Katibu
Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Ali Khamis, akimkabidhi cheti Mwanasheria wa
Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Said Malik, baada ya kumaliza mafunzo
ya siku tano juu ya namna ya kuandaa na kutia saini mikataba mbalimbali ya serikali.
Hafla hiyo ilifanyika Juni 24, 2017 katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo mjini Zanzibar.
(Picha na Abdalla Omar-MAELEZO).
Chuo cha CATC kupata Majengo ya kisasa miaka mitatu ya Rais Samia madarakani
-
Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) Aristid Kanje amesema CATC
ni moja ya vyuo vinavyotoa kozi ya Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) na ni
mo...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment