MJASIRIAMALI
wa biashara ya nazi katika eneo la chukwani unguja Ndg Salim Ali Mihambo akipanga bidhaa hizo
kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati za kupanga bidhaa
hiyo, fungu moja anauza shilingi 10,000/= likiwa na nazi 8, bidhaa ya nazi katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani hutumika kwa wingi katika mapishi ya futari na maakuli mengine.
GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa
Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment