MJASIRIAMALI
wa biashara ya nazi katika eneo la chukwani unguja Ndg Salim Ali Mihambo akipanga bidhaa hizo
kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati za kupanga bidhaa
hiyo, fungu moja anauza shilingi 10,000/= likiwa na nazi 8, bidhaa ya nazi katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani hutumika kwa wingi katika mapishi ya futari na maakuli mengine.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment