Kilipojengwa miaka hiyoo kilikusudiwa choo cha matumizi ya kawaida kwa wale watakaohitaji vyoo (Public Toilet) lakini imeonekana huduma hii haihitajiki tena kwani labda tumekuwa na vyoo vya kutosha kwa hivo wacha tukigeuze kiwe duka la wakala wa simu ili tuendane na wakati!
Picha kwa hisani ya Abuu Shani kupitia ukuta wake wa Facebook
No comments:
Post a Comment