Habari za Punde

THBUB Yaadhimisha Siku ya Wazee Duniani kwa Kufanya Usafi Makaazi ya Wazee Kituo cha Wazee Welezo na Sebleni Zanzibar na Kugawa Vyakula na Vifaa Kwa Wazee Wanaoisha Katika Makaazi Hayo

KAMISHNA wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Zanzibar, Mhe. Khatib Mwinyichande akijumuika na Wafanyakazi wa Tume katika kuadhimisha Siku ya Wazee Duniani kwa kufanya usafi katika makaazi ya Kituo cha Wazee Welezo Wilaya ya Magharibi "A"  Unguja  na kukabidhi Vifaa na Vyakula kwa Wazee wa Welezo na Sebleni. 
Wafanyakazi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Zanzibar wakifanya usafi katika Kituo cha Wazee Welezo Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kuadhimisha Siku ya Wazee Duniani na kukabidhi msaada wa Vyakula na Vifaa mbalimbali kwa ajili ya Wazee wa Vituo hivyo.








Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Khatib Mwinyichande akizungumza na Wazee wa Kituo cha Welezo Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, baada ya kumaliza zoezi la kufanya usafi katika Makaazi ya Wazee Welezo Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Wazee Duniani.




























No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.