Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Wajasiriamali mbalimbali kisiwani pemba wakipata mafunzo ya usindikaji wa matunda kutoka kwa Mtaalam akitowa mafunzo hayo kwa wajasiria...
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira akizungumza na viongozi wa CCM wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu,Oktoba 18, 2025 . Na Mw...
-
Mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani ndugu Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na kuomba kura kwa walimu wanawake wa madrasa waliomo katika ...
-
Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akiruka mkwanja wa beki wa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofa...
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan...
-
Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa N...
-
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe.Idrisa Haji Jecha akizungumza na kuyafungua mafunzo maalumu kwa Makundu Maalumu na Watu weny...
-
Mkurugenzi Idara ya Ajira Afisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Ndg.Abdallah Saleh Omar, akizungumza na kuzindua kampuni ya Ambite...
-
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Mbeya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewataka...
Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Awataka Vijana Kujiunga na Ujasiriamali.
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
Umoja wa Viijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM ) umesema vijana wanaoendelea kulalamika bila kufanya kazi, kujituma na kutoa jasho la uchapakazi watakawia sana kufikia malengo chanya na kujikwamua hatimaye maisha.
Hayo yameelezwa jana kaimu katibu mkuu shaka Hamdu Shaka alipotembelea kikundi cha ujasiriamali katika kata ya Mwandiga wilaya ya Kigoma vijijini Mkoani hapa .
Shaka alisema hakuna njia mbadala na ya mkato ya kujikwamua kimaisha na hali ngumu yoyote ya umasikini bila kijana mwenyewe kuamua kujishughulisha na kuzalisha mali hatimaye kujitegemea.
Aliwasifu wana kikundi hicho kwa kujikusanya, kupanga mipango na mikakati ya mradi wa kufyatua matofali, kuzalisha sabuni na kuwa na kikundi cha Vicoba kwa mtimdo wa kuweka na kukopa pia kununu hisa.
"Vijana wengi huwa wanawaza, wanapanga na kutaka kutenda hawatendi, kikundi hiki ni makini na kimeamua kuonyesha kwa vitendo jinsi kilivyopania kujikwamua na umasikini wa vipato hatimaye kujijenga kiuchumi "Alisema Shaka .
Shaka aliwahimiza watendaji wa halmashauri ya Kigoma vijijini kuona haja ya kukipa umuhimu kikundi hicho kwa kuwapatia wataalam, mitaji na vyanzo vya fedha.
"Vijana mnakawia, jiungeni ili kushiriki katika shughuli za ujasiriamli kwa lengo la kuacha utegemezi badala yake mjiajiri na kujitegemea kiuchumi kama kikundi cha "Alisema
Kaimu Katibu Mkuu pia alizindua kazi za uchimbaji wa mitaro kwa akili ya usambazaji wa maji safi na salama katika kata ya kalinzi na kutazama maendeleo ya mradi wa ujenzi wa tangi la maji hatimaye akazumgumza na wanachama katika kikao cha ndani katika kata Mgaraganza mkoani hapa .
Kwa upande wake Mbunge wa vijana Mkoa Kigoma Zainab Katimba ameahidi kukisaidia kikundi hicho kwa kuwapatia vyerehani vitano ili kuongeza mradi mwingine wa ushonaji kwa kina dada wa kikundi hicho.
Aliwaeleza vijana hao waendelee na shime hiyo ya kujitolea na kutumia nguvu zao ili kufikia malengo yao ya kujijenga kiuchumi na kupata maisha bora.
"Ingelikuwa vijana wote kigoma na Tanzania wanapitisha maamuzi mazito kama kikundi hiki, nchi yetu isingekuwa na vijana wanaolalamika, wanaosaka ajira au kulalamikia umasikini "Alisema Zainab.
Hata hivyo Mbunge huyo alisema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha vijana hao halmshauri ya Kigoma vijijini inawafuatilia na kuwatazama kwa macho mawili makoni vijana hao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Viongozi wa Dini Kanda ya Kati Wataka Amani Uchaguzi Mkuu - Na Mwandishi Wetu, Dodoma VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kus...5 hours ago
-
Elimu : Bajeti za Elimu Zisipuuzwe wakati wa misukosuko ya Kiuchumi na Kisiasa Duniani - Kikwete na Malala Waonya. - Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au ku...1 week ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...





No comments:
Post a Comment