KAZI ya Upakaji wa Rangi katika Uwanja wa Michezo Gombani imeanza
rasmi katika sehemu mbali mbali za majukwaani, kazi hiyo inayofanywa na mafunzi
wa Kampuni ya kizalendo ya Zanzibar ZECCON, pichani wafanyakazi wa kampuni hiyo
wakiwa kazini.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
MCHENGERWA AOMBA RIDHAA KWA CCM KUGOMBEA UBUNGE WA RUFIJI
-
Na Mwandishi Wetu - Rufiji
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI na aliyekuwa Mbunge wa Rufiji Mhe.
Mohamed Mchengerwa leo Juni 30, amejitokeza kuomba...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment