KAZI ya Upakaji wa Rangi katika Uwanja wa Michezo Gombani imeanza
rasmi katika sehemu mbali mbali za majukwaani, kazi hiyo inayofanywa na mafunzi
wa Kampuni ya kizalendo ya Zanzibar ZECCON, pichani wafanyakazi wa kampuni hiyo
wakiwa kazini.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment