Captain Azizi
wa Shirika la Bandari Zanzibar akitowa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda
hilo wakati wa maonesho ya kuadhimisha Siku ya Mabaharia Duniani yaliofanyika
katika viwanja vya Mnara wa Kumbumbuku
ya Mapinduzi michezani Zanzibar
KOPLO
Makame Juma mtaalamu wa kuogelea katika Kikosi cha KMKM Zanzibar akitowa
maelezo kwa wananchi waliotembelea banda la KMKM wakati wa maonesho ya
kuadhimisha Siku ya Mabaharia Duniani yaliofanyika katika viwanja vya Mnara wa
Mapinduzi michezani
KOPLO
Makame Juma mtaalamu wa kuogelea katika Kikosi cha KMKM Zanzibar akitowa
maelezo kwa wananchi waliotembelea banda la KMKM wakati wa maonesho ya
kuadhimisha Siku ya Mabaharia Duniani yaliofanyika katika viwanja vya Mnara wa
Mapinduzi michezani
MKUFUNZI
wa Chuo cha Mabaharia Zanzibar cha DANAOS Mbarouk Kheri akitowa maelezo kwa
wananchi waliotembelea banda hilo wakati wa maonesho ya kuadhimisha Siku ya
Mabaharia duniani yalioadhimishwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu
michezani Zanzibar
No comments:
Post a Comment