KIONGOZI wa
madaktari kutoka China na mtaalamu wa masikio, koo na pua ‘E.N.T’ dk Chen Er
Dong, akimfanyia kipimo cha sikio mwanafunzi wa skuli ya Msingi ya Makombeni
wilaya ya Mkoani, Pemba wakati timu hiyo ya madaktari nane kutoka China walipokuwa
na zoezi hilo skulini hapo, (Picha na
Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI wa skuli ya Msingi Makombeni wilaya ya Mkoani Pemba, wakikabidhiwa zawadi ya vifaa vya skuli na timu mpya ya madaktari kutoka China, waliopo hospitali ya Mkoa ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, mara baada ya madaktari hao kuwafanyia vipimo vya koo, maskio na pua skulini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI wa skuli ya Msingi Makombeni wilaya ya Mkoani Pemba, wakikabidhiwa zawadi ya vifaa vya skuli na timu mpya ya madaktari kutoka China, waliopo hospitali ya Mkoa ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, mara baada ya madaktari hao kuwafanyia vipimo vya koo, maskio na pua skulini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
KIONGOZI wa madaktari
kutoka China na mtaalamu wa masikio, koo na pua ‘E.N.T’ dk Chen Er Dong,
akimfanyia kipimo cha sikio, mwanafunzi wa skuli ya Msingi ya Makombeni wilaya
ya Mkoani, Pemba wakati timu hiyo ya madaktari nane kutoka China, walipokuwa na
zoezi hilo skulini hapo, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment