Habari za Punde

Madaktari kutoka China watoa huduma za matibabu wilaya ya Mkoani

KIONGOZI wa madaktari kutoka China na mtaalamu wa masikio, koo na pua ‘E.N.T’ dk Chen Er Dong, akimfanyia kipimo cha sikio mwanafunzi wa skuli ya Msingi ya Makombeni wilaya ya Mkoani, Pemba wakati timu hiyo ya madaktari nane kutoka China walipokuwa na zoezi hilo skulini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 
 WANAFUNZI wa skuli ya Msingi Makombeni wilaya ya Mkoani Pemba, wakikabidhiwa zawadi ya vifaa vya skuli na timu mpya ya madaktari  kutoka China, waliopo hospitali ya Mkoa ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, mara baada ya madaktari hao kuwafanyia vipimo vya koo, maskio na pua skulini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

KIONGOZI wa madaktari kutoka China na mtaalamu wa masikio, koo na pua ‘E.N.T’ dk Chen Er Dong, akimfanyia kipimo cha sikio, mwanafunzi wa skuli ya Msingi ya Makombeni wilaya ya Mkoani, Pemba wakati timu hiyo ya madaktari nane kutoka China, walipokuwa na zoezi hilo skulini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.