Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora Kati ya Jamuhuri na Taifa ya Jangombe Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu Hizo Zimetoka Sare ya 0-0.

Meya wa Zanzibar Msahiki Meya Mhe Khatib Abdurahaman Khatib akiwa na ugeni wake wa Meya kutoka Nchini Ujerumani wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora kati ya Timu ya Taifa ya Jangombe na Jamuhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.