Meya wa Zanzibar Msahiki Meya Mhe Khatib Abdurahaman Khatib akiwa na ugeni wake wa Meya kutoka Nchini Ujerumani wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora kati ya Timu ya Taifa ya Jangombe na Jamuhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Timu ya madaktari bingwa wa Dkt.Samia waanza kutoa huduma za kibingwa
mkoani Njombe
-
Timu ya madaktari bingwa 30 waliowasili mkoani Njombe wameanza kutoa huduma
katika hospitali za wilaya zote mkoani humo huku wito ukitolewa kwa
wananchi ku...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment