Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan
Abbas, akimsikiliza Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi
(ACP) Barnabas Mwakalukwa, wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo
la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi kushika nafasi hiyo
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbas, akizungumza na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa, wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi kushika nafasi hiyo
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan
Abbas, akimkabidhi Jarida la Nchi yetu, Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini,Kamishna Msaidizi wa
Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa, wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo
la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Tanzania kushika nafasi hiyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan
Abbas akimuonyesha Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini,Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP)
Barnabas Mwakalukwa ofisi ya Msajili wa Magazeti wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo
la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Tanzania kushika nafasi hiyo
No comments:
Post a Comment