Habari za Punde

Ngeleja arejesha Shilingi milioni 40.4 alizopewa kama msaada na James Rugemalira

 Mbunge wa Sengerema Mh. William Ngeleja (kushoto)  akionesha nakala ya malipo ya kiasi cha shilingi milioni 40.4 alizozirejesha Serikalini (TRA) fedha alizopewa kama msaada toka kwa Bw. James Rugemalira wa Kampuni ya VIP Engeneering and Marketing Ltd, kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa.

 Mbunge wa Sengerema Mh. William Ngeleja (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya kurejesha kiasi cha shilingi milioni 40.4 Serikalini (TRA) fedha alizopewa kama msaada toka kwa Bw. James Rugemalira wa Kampuni ya VIP Engeneering and Marketing Ltd, kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa.
Picha zote na Eliphace Marawa – Maelezo.
              

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.