Mwananchi wa Kijiji cha Mwera kiongoni akitandaza kifusi katika barabara yao ya ndani kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika kazi hiyo, kipindi cha mvua za masika barabara nyingi zimeharibika kwa kuchimbika na kuwa katika hali ya kuharibika kwa mashimo kuwa mengi.
MF NA EAC WAJADILI UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI KWA AJILI YA MAENDELEO
-
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza katika
mkutano uliotishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF na kuwakutanisha
Wadau...
3 hours ago
Miundombinu ya barabara kijijini Mwera inahitajika kwa sababu ya kuharibiwa vibaya na mvua.Mazao hayawezi kufika sokoni kwa wakati unaohitajika. Mbali na hayo, vifusi vilivyotapakaa barabarani vinakuwa kikwazo kikubwa kwa magari kupita.
ReplyDelete