Burudoza la Kampuni inayojenga barabara hiyo Kampuni ya MECCO ikianza kazi hiyo kwa hatua ya mwanzo kuchimbia barabara hiyo kwa ajili ya uwekaji wa kifusi na hatua ya mwisho kuweza kuweka lami, barabara hiyo imekuwa kero kwa wananchi wa Kinuni kupitia kwa mabata.
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment