Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mbunge na Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Japan Ichiro Aisawa aliyefika
Ikulu kwa ajili ya mazungumzo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo
na Mbunge na Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Japan Ichiro Aisawa Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mbunge
na Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Japan Ichiro Aisawa mara baada ya
kumaliza mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mbunge
na Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Japan Ichiro Aisawa mara baada ya
kumaliza mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment