Wachezaji wa mchezo wa JWTZ wakijiandaa na michuano ya Majeshi ya Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika Nchini Burundi mwezui huu 26, Agusti kutimbua vumbi kwa michezo mbalimbali. Wakiwa katika Kambi yao ya mazoezi Zanzibar kujiandaa ni michuano hiyo. Wakifanya mazoezi hayo katika uwanja wa Nyuki maisara Zanzibar.
TANFOAM MARATHON ARUSHA YAZINDULIWA RASMI KWA MSIMU WA PILI
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili,
yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arus...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment