Wachezaji wa mchezo wa JWTZ wakijiandaa na michuano ya Majeshi ya Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika Nchini Burundi mwezui huu 26, Agusti kutimbua vumbi kwa michezo mbalimbali. Wakiwa katika Kambi yao ya mazoezi Zanzibar kujiandaa ni michuano hiyo. Wakifanya mazoezi hayo katika uwanja wa Nyuki maisara Zanzibar.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment