Wachezaji wa mchezo wa JWTZ wakijiandaa na michuano ya Majeshi ya Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika Nchini Burundi mwezui huu 26, Agusti kutimbua vumbi kwa michezo mbalimbali. Wakiwa katika Kambi yao ya mazoezi Zanzibar kujiandaa ni michuano hiyo. Wakifanya mazoezi hayo katika uwanja wa Nyuki maisara Zanzibar.
Habari : Rais Samia Awataka Watanzania kuwa Wazalendo, Wakajiandikishe
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Chamwino Dodoma
RAIS wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameboresha taarifa zake za mpiga kura
katika Kijiji Chamwino Ikulu, h...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment