Wafanyakazi wa Idara ya Utunzaji wa Miundominu ya Barabara Unguja wakiifanyika ukarabati barabara ya Mwanakwerekwe eneo la bwawa lilioharibika kwa mvua za masika zilizopita zilizoifanya barabara hiyo kutopitika kwa kufurika kwa bwawa hilo hadi katika barabara hiyo na kufungwa kwa kipindi kirefu kutokana na kujaa kwa maji na kuleta madhara ya kuchumbika.
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
6 hours ago
Tunashkuru kwa matengenezo, ila sisi wananchi tunaona hii ni kuondoa njiani tu, ufumbuzi hasa wa Eneo la Mwana kwerekwe ni kujengwa daraja kubwa hapo, ili kupisha maji mvua yatiririke Chini na magari na wananchi wapitie juu. Lkn kinachoendelea ni ondoa njiani, masika zijazo ngoma ipo vile vile, imekuwa ndo maisha ya kawaida sasa kwa wa Zanzibar ikifika masika Mwana kwerekwe hakupitiki adhaa kweli.
ReplyDelete