Habari za Punde

Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo Atembelea Hospitali ya Abdallah Mzee Mkoani Pemba.

WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, akiwa na kiongozi mkuu wa madaktari kutoka China, walipo Hospitali ya Abdulla Mzee Mkoani dk Chen Er Dong, wakati waziri huyo, alipotembelea hospitali hiyo, hivi karibuni 
KIONGOZI mkuu wa madaktari kutoka nchini China, anaofanyakazi zao hospitali ya Mkoa wa Abdulla Mzee Mkoani Pemba, dk Chen Er Dong, akimuonyesha jambo waziri wa Afya Zanzibar Mhe: Mahamaoud Thabiti, wakati waziri huyo, alipotembelea hospitali hiyo, hivi karibuni 
WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, akiagana na Kiongozi Mkuu wa Madaktari kutoka nchini China, waliopo hospitali ya Mkoa ya Abdulla Mzee Mkoani Pemba, Dr..Chen Er Dong, wakati waziri huyo, alipofika hospitali hapo, kuangalia uwezekano wa kupata vyumba kwa ajili ya kuanzishwa Kituo cha Mkono kwa mkono cha Wilaya ya Mkoani.
 (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.