Habari za Punde

Afisa Mdhamini Kilimo Pemba Azungumza na Waandishi wa Habari.

Afisa Mdhamini Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Pemba Sihaba Haji Vuai, akitoa taarifa ya mwenendo wa ulipaji wa fedha, kwa wananchi waliokodishwa mashamba ya mikarafuu ya serikali, mbele ya waandishi wa habari, mkutano uliofanyika ofisini kwake, mjini Wete
Afisa Mdhamini Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kisiwani Pemba Sihaba Haji Vuai, akitoa taarifa ya mwenendo wa ulipaji wa fedha, kwa wananchi waliokodishwa mashamba ya mikarafuu ya serikali, mbele ya waandishi wa habari, mkutano uliofanyika ofisini kwake, mjini Wete
Afisa Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Pemba, Asha Salum Abdulla, akiwakaribisha waandishi wa habari mbali mbali kisiwani katika mkutano na Afisa Mdhamini wa wizara hiyo, kuanza kutoa taarifa rasmi kwa waandishi hao, juu ya kuwataka waliokodi mshamba ya mikarafuu ya serikali kufanya malipo hima, kabla ya kukabidhiwa kwa ZAECA
Mwakilishi wa ITV/Redio one kisiwani Pemba, Suleiman Rashid Omar, akiomba ufafanuzi juu suala la ukodishaji wa mashamba ya mikarafuu ya serikali, kwenye mkutano ulioandaliwa na Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kisiwani Pemba, kuhusu ulipaji wa madeni kwa wadaiwa wasugu, mkutano uliofanyika mjini Wete, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.