Habari za Punde

HAWA NDIO WANAONGOZA KWA MAGOLI LIGI KUU ZANZIBAR KANDA YA UNGUJA

Na Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.
Mzunguko wa nne wa ligi kuu soka ya Zanzibar Kanda ya Unguja utaanza Ijumaa Oktoba 27 katika uwanja wa Amaan saa 10:00 za jioni Miembeni City dhidi ya Chuoni .

Mpaka sasa jumla ya mabao 41 yamefungwa katika 

ligi hiyo huku washambuliaji Salum Songoro wa KVZ 

na Nassor Ali wa Kipanga ndio wanaongoza katika 

safu ya ufungaji ambapo wameshafunga jumla ya 

mabao 4 kila mmoja.

MABAO 4
Salum Songoro (KVZ) mabao 4
Nassor Ali (Kipanga) mabao 4

MABAO 3
Mudrik Muhibu (KMKM) mabao 3
Salum Akida (KMKM) mabao 3

MABAO 2
Ali Haji Said “Zege” (JKU) mabao 2

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.