Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Pemba, Salama Mbarouk Khatib, akiwa katika Kikao cha Pamoja na Kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo , wakijadili namna ya kukabiliana na sherehe za mwenge wa uhuru unaotarajiwa kuwasili Wilayani humo mapema wiki hii .
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA
WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
-
Na Silivia Amandius -Kagera RS
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewata...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment