Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Pemba, Salama Mbarouk Khatib, akiwa katika Kikao cha Pamoja na Kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo , wakijadili namna ya kukabiliana na sherehe za mwenge wa uhuru unaotarajiwa kuwasili Wilayani humo mapema wiki hii .
MBEKI AWAASA VIONGOZI WA AFRIKA KUWA WAZALENDO KATIKA KULINDA MASLAHI YA
BARA LAO
-
Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Mheshimiwa Thabo Mbeki, amewahimiza viongozi
wa Bara la Afrika kuwa wakweli na waaminifu katika kulinda maslahi ya bara
lao,...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment