Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amezungumza na BMG na kueleza madhara yatokanayo na matumizi ya dawa za kutibu magonjwa yanayosababishwa na bakteria (ANTIBIOTICS) kiholela bila kufuata ushauri wa daktari.
WATU WOTE WAMEOKOLEWA - MGODI WA DHAHABU MWAKITOLYO
-
Na. Julius Mtatiro
Tukio la Ajali ya Mgodi Mwakitolyo unaomilikiwa na Kikundi cha Wachimbaji
cha "HAPA KAZI TU!", limetokea Jumamosi, 17 Mei 2025, na mimi ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment