Wafanyakazi wa Kampuni ya DEZO inayojenga matuta katika ufukwe wa pwani ya kilimani wakiendelea na ujenzi huo kwa kukusanya mawe kupeleka sehemu husika kunusuru maji ya bahari kuvuka na kuingia katika eneo la makaazi na kuharibu mazingira ya eneo hilo ambalo tayari limeshaathirika na kufikiwa kwa maji ya bahari.
Kuwawezesha Wasichana: Vodacom Imeleta Tumaini kwa Wasichana Kupitia Elimu
ya Kidijitali
-
Mmoja wa wahitimu akifanya wasilisho la mradi wa kundi lake katika kilele
cha mafunzo ya Tehama (Code like a Girl) jijini Dar es Salaam. Mradi huo
...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment