Wafanyakazi wa Kampuni ya DEZO inayojenga matuta katika ufukwe wa pwani ya kilimani wakiendelea na ujenzi huo kwa kukusanya mawe kupeleka sehemu husika kunusuru maji ya bahari kuvuka na kuingia katika eneo la makaazi na kuharibu mazingira ya eneo hilo ambalo tayari limeshaathirika na kufikiwa kwa maji ya bahari.
DKT. NCHEMBA: TANZANIA IMEPIGA HATUA KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA
-
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amelihakikishia Shirika
la Marekani la Changamoto za Milenia (Millenn...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment