Wafanyakazi wa Kampuni ya DEZO inayojenga matuta katika ufukwe wa pwani ya kilimani wakiendelea na ujenzi huo kwa kukusanya mawe kupeleka sehemu husika kunusuru maji ya bahari kuvuka na kuingia katika eneo la makaazi na kuharibu mazingira ya eneo hilo ambalo tayari limeshaathirika na kufikiwa kwa maji ya bahari.
TEITI YAWEKA WAZI RIPOTI YA 15 YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023
-
TANZANIA ikiwa ni nchi mwanachama wa EITI imeendelea kutekeleza Matakwa ya
Kimataifa ya EITI ambapo kila mwaka nchi mwanachama wa Asasi ya EITI
inatak...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment