Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Mkuu wa Mkoa
wa Mwanza John Mongella pamoja na viongozi mbalimbali akikata utepe kuashiria
ufunguzi wa Daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha liliopo jijini Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri
wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa pamoja na viongozi
mbalimbali akivuta utepe kwenye jiwe la ufunguzi kuashiria ufunguzi wa wa
Daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha liliopo jijini Mwanza
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa mara baada ya
kufungua daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha jijini Mwanza.
Sehemu
ya wananchi waliohudhuria ufunguzi wa daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha
jijini Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe
Mama Janeth Magufuli wakipanda ngazi za Daraja hilo jipya la Furahisha jijini
Mwanza.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
TanzaniaMhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakiwapungia mkono wananchi waliopo chini ya Daraja la Furahisha(hawaonekani
pichani )Mara baada ya ufunguzi wa daraja
hilo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri wa Ujenzi Uchukuzi
na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kabla ya ufunguzi wa daraja hilo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi kabla ya ufunguzi wa daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha jijini
Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi kabla ya ufunguzi wa daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha jijini
Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza
mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Miundombinu kutoka chama cha CUF Zuberi
Kuchauka mara baada ya kuhutubia wananchi katika eneo la Furahisha jijini
Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
mkono wananchi wakati akiwaaga mara baada ya ufunguzi wa Daraja hilo la
Furahisha
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
mkono wananchi wakati akiwaaga mara baada ya ufunguzi wa Daraja hilo la
Furahisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakiwaaga wananchi katika eneo la Daraja la Furahisha jijini Mwanza mara baada
ya ufunguzi.
No comments:
Post a Comment