Kipa wa Timu ya KVZ Bashri Muslim akiokoa moja ya hatari golini kwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa amaan timu ya Taifa ya Jangombe imeshinda bao 1 -0.
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Jangombe kushoto Muharami Issa akimiliki mpira huku beki wa Timu ya KVZ Juma Abdallah akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa amaan. Timu ya Taifa ya Jangombe imeshinda bao 1 - 0.
No comments:
Post a Comment