Habari za Punde

Kikosi cha Timu ya Miembeni City Kutupa Karata Yake Nyengine Leo Ligi Kuu ya Zanzibar Uwanja wa Amaan Unguja.


Ligi kuu soka ya Zanzibar Kanda ya Unguja itaendelea tena kesho kwa kupigwa michezo miwili katika uwanja wa Amaan.

Taifa ya Jang'ombe watakuwa na kazi pevu kucheza na Chuoni saa 8:00 za mchana na saa 10:00 za jioni Miembeni City watajaribu bahati yao kwa KVZ.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.