Habari za Punde

Kamati ya Usalama Barabarani Yaadhimisha Wiki ya Nenda Kwa Usalama Kwa Uchoraji wa Alama za Vivuko Vya Watembea Kwa Miguu (zebra)

Mafundi wa kampuni ya Minica Ltd, kwa kushirikiana na Kamati ya Usalama Barabarani na Benki ya Stan Bic, wakichora alama za kivuko cha waenda kwa miguu 'Zebra' katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi katika makutano ya Taa za kuongozea magari za Ubalozi wa Ufaransa Dar es Salaam, leo mchana, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa usalama inayoendelea. Picha Zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
Mafundi wakiweka alama kabla ya kuanza kuchora
Mafundi wakiendelea kuchora alama
Mdau akishiriki kuchora alama

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.