Wachukuza katika Marikiti Kuu ya Darajani wakiwa katika harakati za kumpima samaki aina ya chewa aliyevuliwa katika bahari ya Zanzibar na kufikisha katika soko la samaki kwa ajili ya kuuzwa akiwa na uzito wa kilo 150.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment