Wachukuza katika Marikiti Kuu ya Darajani wakiwa katika harakati za kumpima samaki aina ya chewa aliyevuliwa katika bahari ya Zanzibar na kufikisha katika soko la samaki kwa ajili ya kuuzwa akiwa na uzito wa kilo 150.
MBUNGE KAWAWA AKABIDHI DAWA NA VIFAA TIBA VYA MILIONI 14.5 ZAHANATI YA
LUANGANO
-
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma, Vitta Rashid Kawawa, amekabidhi
dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 14.5 kwa Zahanati ya
Luan...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment