Habari za Punde

Kikosi Cha Zanzibar Heroes leo dhidi ya Kenya Harambee Stars

Na Abubakar Khatib Kisandu, Machakos Kenya.

Kocha wa Mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) Hemed Suleiman “Morocco” ametangaza kikosi chake kitakachocheza leo kwenye Mashindano ya CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP kati ya Zanzibar na Kenya katika uwanja wa Kenyatta uliopo Machakos nchini Kenya, pambano litakalopigwa majira ya saa 10:00 za jioni.

ZANZIBAR HEROES
1.  Mohd Abrahman (Wawesha) 18
2.  Ibrahim Mohd (Sangula) 15
3.  Haji Mwinyi Ngwali 16
4.  Abdulla Kheri (Sebo) 13
5.  Issa Haidar Dau (Mwalala) 8
6.  Abdul azizi Makame (Abui) 21
7.  Mohd Issa (Banka) 10
8.  Mudathir Yahya 4
9.  Ibrahim Hamad Hilika17
10. Feisal Salum (Fei Toto) 3
11. Suleiman Kassim “Seleembe” 7 (Captain)

AKIBA
1.  Ahmed Ali (Salula) 1
2.  Ibrahim Abdallah 2
3.  Adeyum Saleh 20
4.  Abdullah Haji (Ninja) 5
5.  Seif Rashid (Karihe) 12
6.  Kassim Suleiman 19
7.  Khamis Mussa (Rais) 28
8.  Amour Suleiman (Pwina) 14
9.  Hamad Mshamata 9
10. Abdul swamad Kassim (Hasgut) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.