MAKAMU
wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akizundua
Kitabu cha Kampeni Uzalendo na Utaifa Kwanza katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma
wakishuhudia uzinduzi huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Kassim Majaliwa na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Dkt. Herrison
Mwakyembe, uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma
MAKAMU
wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akionesha
picha ya Kitabu cha Kampeni Uzalendo na Utaifa Kwanza baada ya kukizundua
katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, akiwa na Waziri wa Habari Utamaduni na
Michezo Dk Herrison Mwakyembe, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Kassima Majaliwa
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni na Utaifa Uzalendo
Kwanza kilichozinduliwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na Makamu wa
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni na Utaifa Uzalendo
Kwanza kilichozinduliwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na Makamu wa
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni na Utaifa Uzalendo Kwanza kilichozinduliwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akikabidhiwa nakala ya Kitabu cha Kampeni Uzalendo na Utaifa Kwanza na Makamu wa Rais wa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, baada ya kukizindua
kitabu hicho katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisoma
kitabu cha Uzalendo Kwanza baada ya kuzinduliwa na kukabidhiwa nakala ya kitabu
hicho katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma akiwa na Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa
WAZIRI
Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akihutubia wakati
wa hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Kampeni ya Uzalendo na Utaifa Kwanza katika
ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dodoma
No comments:
Post a Comment