Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya
Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika katika Ukumbi wa White House mjini
Dodoma. Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais wa Zanzibar
Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Bara Philip Mangula.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya
Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika katika Ukumbi wa White House mjini
Dodoma. Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais wa Zanzibar
Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM
Bara Philip Mangula.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman
Kinana akizungumza katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha
Mapinduzi (CCM) kilichofanyika katika Ukumbi wa White House mjini Dodoma
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya
Chama cha Mapinduzi (CCM) wakiimba mara baada ya Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika ukumbi wa Chama cha
Mapinduzi (White House) mjini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu
Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim akiwaaga wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha
Mapinduzi (CC) mara baada ya kumaliza muda wake.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mjumbe wa
Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye amemaliza muda wake Waziri Mkuu
Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim. Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment