Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma Neema Majule, kulia akimtambulisha Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Gaudencia Kabaka,baada ya kuwasili katika viwanja vya Makao Makuu CCM White House Dodoma wakati wa mapokezi yake yalioandaliwa ma UWT Mkoa wa Dodoma na kutambulishwa kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo baada ya kuchaguliwa katika Mkutano Mkuu wa Tisa wa UWT uliofanyika Mkoani huo wiki hii.
AIRTEL TANZANIA YANG’ARA HUDUMA BORA ZA MTANDAO-TCRA
-
AIRTEL TANZANIA imeibuka kinara wa kutoa huduma bora za mtandao kufuatia
ripoti ya Takwimu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inayoishia
Machi 2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment