Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma Neema Majule, kulia akimtambulisha Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Gaudencia Kabaka,baada ya kuwasili katika viwanja vya Makao Makuu CCM White House Dodoma wakati wa mapokezi yake yalioandaliwa ma UWT Mkoa wa Dodoma na kutambulishwa kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo baada ya kuchaguliwa katika Mkutano Mkuu wa Tisa wa UWT uliofanyika Mkoani huo wiki hii.
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment