Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Nd. Omar Khamis Othman, amsikiliza Afisa kutoka Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) Zone ya Pemba Ali Shaban Suleiman akitowa maelezo ya eneo hilo la Uwekezaji la Kiyuni Mbuyuni Wilaya ya Micheweni Pemba.
Miaka kumi ya mabadiliko ya kimfumo katika usimamizi na uthibiti wa taka
nchini Tanzania
-
Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Taka Sifuri Duniani, tunajivunia kuadhimisha
miaka 10 ya mabadiliko ya kimfumo katika usimamizi na uthibiti wa taka
nchini T...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment