Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni akizungumza wakati
akifungua Kikao cha Baraza la
Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi. Lengo la baraza hilo ni kujadili
utendaji na maendeleo ya kila idara katika kutimiza majukumu ya wizara. Kikao
hicho kimefanyika katika Ukumbi wa
Maafisa Magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam leo
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (watatu kulia), na Naibu Katibu Balozi Hassan Simba Yahya (wanne
kulia), wakiimba wimbo wa mshikamano wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi
wa wizara hiyo kilichofanyika katika Ukumbi wa Maafisa Magereza Ukonga, jijini
Dar es Salaam leo. Lengo la baraza hilo ni kujadili utendaji na maendeleo ya
kila idara katika kutimiza majukumu ya wizara .Wengine ni viongozi wa Chama cha Wafanyakazi tawi la wizara hiyo
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji,Thobias Andengenye, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk. Anna Makakala na
Kamishna wa Magereza
anayeshughulikia Utawala na Fedha,
Gaston Sanga wakiimba wimbo wa mshikamano
wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, lengo
la baraza hilo ni kujadili utendaji na maendeleo ya kila idara katika kutimiza
majukumu ya wizara.Kikao hicho kimechofanyika katika Ukumbi wa Maafisa Magereza
Ukonga, jijini Dar es Salaam leo
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji,Thobias Andengenye, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk. Anna Makakala na
Kamishna wa Magereza
anayeshughulikia Utawala na Fedha,
Gaston Sanga wakiimba wimbo wa mshikamano
wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, lengo
la baraza hilo ni kujadili utendaji na maendeleo ya kila idara katika kutimiza
majukumu ya wizara.Kikao hicho kimechofanyika katika Ukumbi wa Maafisa Magereza
Ukonga, jijini Dar es Salaam leo
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji,Thobias Andengenye,akichangia hoja wakati wa Kikao cha Baraza la
Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lengo la baraza hilo ni
kujadili utendaji na maendeleo ya kila idara katika kutimiza majukumu ya
wizara.Kikao hicho kimechofanyika katika Ukumbi wa Maafisa Magereza Ukonga,
jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk. Anna
Makakala na Kamishna wa Magereza
anayeshughulikia Utawala na Fedha,
Gaston Sanga.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk. Anna, akichangia hoja wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lengo la baraza hilo ni kujadili utendaji na
maendeleo ya kila idara katika kutimiza majukumu ya wizara.Kikao hicho kimefanyika
katika Ukumbi wa Maafisa Magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,Thobias Andengenye(kushoto)
na Kamishna wa Magereza anayeshughulikia
Utawala na Fedha, Gaston Sanga
Kamishna wa Magereza anayeshughulikia Utawala na Fedha, Gaston Sanga, akichangia
hoja wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Lengo la baraza hilo ni kujadili utendaji na maendeleo ya kila idara
katika kutimiza majukumu ya wizara.Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa
Maafisa Magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni Kamishna Jenerali
wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye (kushoto) na Kamishna
Jenerali wa Uhamiaji, Dk. Anna Makakala.
Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar,
Johari Masoud Sururu, akichangia
hoja wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Maafisa Magereza Ukonga, jijini Dar es
Salaam leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment