Habari za Punde

Viongozi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Pemba wakagua mashamba ya mpunga yanayoingia maji chumvi

 SHEHA wa Shehia ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani, Silima Haji Hassan, akitoa maelezo juu ya mashamba ya mpunga yanayoingia maji chumvi, wakati viongozi Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Pemba na Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Pemba, wakiongozwa na Msaidizi wa Makamu wa Pili Pemba, Amran Massoud Amran walipokagua maeneo hayo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MRATIB wa Tasaf Pemba Mussa Said akitoa mapendekezo yake juu ya upandaji wa miti ya Mikoko na miti ya juu, katika moja ya mashamba ya mpunga yanayoingia maji chumvi, huko katika kisiwa cha Makoongwe Wilaya ya Mkoani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.