Habari za Punde

Eneo la Benki ya PBZ Chake liangaliwe linaweza kusababisha ajali


IPO haja kwa taasisi husika zinazoshuhulika na masuala ya barabarani, kuweka alama za Punda milia katika eneo la Benki ya PBZ ya Chake Chake, ili kuweza kuwarahisishia wanafunzi kuvuka barabara kwa urahisi.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

1 comment:

  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.