Habari za Punde

Mikandaa inavyoathiriwa na mafuta bandari ya Wesha

LICHA ya Jamii na Vikundi mbali mbali Kisiwani Pemba, kupanda miti ya mikandaa kwa wingi, ili kuzuwia athari za mabadiliko ya Tabia nchi, Pichani Miti hiyo ya mikandaa ambayo imestawi vizuri  inakufa kufuatia mafuta yanayomwagika katika  bandari ya Wesha.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.