Meneja wa Masoko na Uhusiano wa Wateja PBZ, Mussa Mvita akimkabidhi Seti ya Komputa na Mashine ya Foto Kopi Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Skuli ya Sekondari ya Nungwin Makame Sheha Mgasho, hafla hiyo ya makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa PBZ darajani Zanzibar.
BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA TUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi
imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment