Meneja wa Masoko na Uhusiano wa Wateja PBZ, Mussa Mvita akimkabidhi Seti ya Komputa na Mashine ya Foto Kopi Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Skuli ya Sekondari ya Nungwin Makame Sheha Mgasho, hafla hiyo ya makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa PBZ darajani Zanzibar.
Viongozi wa Dini Kanda ya Kati Wataka Amani Uchaguzi Mkuu
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania
kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kus...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment