SHEHA wa Shehia ya Kisiwa ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani , Silima Hija Hassan, akiwaonesha waandishi wa habari wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, Tuta la Mawe linalojengwa na Kaya masikini kwa lengo la kuzuwia kasi ya maji Chumvi kuingia katika mashamba yao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment