SHEHA wa Shehia ya Kisiwa ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani , Silima Hija Hassan, akiwaonesha waandishi wa habari wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, Tuta la Mawe linalojengwa na Kaya masikini kwa lengo la kuzuwia kasi ya maji Chumvi kuingia katika mashamba yao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
NGALIMANAYO: NIPO TAYARI KUIHUDUMIA KATA YA MJINI KWA MOYO WANGU WOTE.
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea udiwani wa Kata ya Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mathew
Ngalimanayo, amerejesha fomu ya uteuzi Tukio hilo limevuta hisi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment