Habari za Punde

Ufunguzi wa Ijtimai ya kimataifa Ole Kianga kisiwani Pemba

 WAUMINI wa Dini ya Kiislamu kutoka nchi mbali mbali barani Africa, wakisali swala ya Ijumaa kabla ya kufunguliwa kwa Ijitimai ya Kimataifa inayofanyika Ole Kiyanga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 USTADHI Mohamed Salim akisoma Quran tukufu, kabla ya kufunguliwa kwa Ijitimai ya Kimataifa, inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 USTADHI Othman Maalim akiwa na Amiri wa Fisabili-llahi Markaz Ali Khamis Mwinyi, wakisikiliza kwa makini Quran Tukufu iliyokuwa ikisomwa kabla ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kitaifa inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 Amiri Kombo Hamada akitoa Tafsir ya Qur-an, kabla ya kufunguliwa kwa ijitimai ya Kiataifa inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 KATIBU Mkuu wa Fisabili-llah- Markaz Hafidh Jabu, akiwakaribisha wageni waalikwa katika ijitimai ya Kitaifa iliyofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 AMIRI wa Fisabili-llahi- Markaz Zanzibar, Ali Khamis Mwinyi, akitoa taarifa fupi ya taasisi hiyo, wakati wa ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAUMINI wa Dini ya Kiislamu kutoka nchi mbali mbali barani Africa, wakifuiatilia kwa makini ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa, inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MUHADHIRI wa dini ya Kiislamu Zanzibar Sheikh Othman Maalim, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu kutoka nchi mbali mbali barani Africa, wakati wa ufunguzi wa ijitimai ya Kimataifa inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).

MUHADHIRI wa dini ya Kiislamu Zanzibar Sheikh Othman Maalim, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu kutoka nchi mbali mbali barani Africa, wakati wa ufunguzi wa ijitimai ya Kimataifa inayofanyika Ole Kianga Kisiwani Pemba.(PICHA NA  ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.