LICHA ya uongozi wa kiwanda cha makonyo kudai moshi
unatoka kiatika kiwanda hicho hauna madhara na bomba yake kupandishwa juu,
lakini bado wananchi wa Wawi na maeneo jirani, wamekuwa wakilalamikia moshi
unaotoka katika kiwanda hicho kuwa unawasha unapoingia machoni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
REA Yagawa Majiko na Mitungi ya Gesi kwa Watumishi wa Magereza Kagera
Kuunga Mkono Matumizi ya Nishati Safi
-
Na Diana Byera, Bukoba
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamezindua zoezi la kugawa majiko na
mitungi ya gesi 486 kwa watumishi wote wa magereza nane za m...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment