LICHA ya uongozi wa kiwanda cha makonyo kudai moshi
unatoka kiatika kiwanda hicho hauna madhara na bomba yake kupandishwa juu,
lakini bado wananchi wa Wawi na maeneo jirani, wamekuwa wakilalamikia moshi
unaotoka katika kiwanda hicho kuwa unawasha unapoingia machoni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment