Habari za Punde

Wakaazi wa Wawi bado walalama na moshi, kiwanda cha makonyo


LICHA ya uongozi wa kiwanda cha makonyo kudai moshi unatoka kiatika kiwanda hicho hauna madhara na bomba yake kupandishwa juu, lakini bado wananchi wa Wawi na maeneo jirani, wamekuwa wakilalamikia moshi unaotoka katika kiwanda hicho kuwa unawasha unapoingia machoni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.