Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mhe.Hemed Suleiman Abdalla wapili kutoka kushoto, akiwa na Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Zanzibar Ndg.Juma Amour na viongozi wengine wa PBZ Tawi la Pemba wakijumuika na Wananchi wa Wateja wa Benki hiyo katika futari maaluum ilioandaliwa kwa ajili ya0 katika ukumbi wa Hoteli ya ZSSF Chake Pemba.
MKUU wa Wilaya ya
Chake Chake Rashdi Hadid Rashid, akichukuwa futari maalumu iliyoandaliwa na
Bank ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Tawi la Pemba, kwa wateja wake na kufanyika
mjini Chake Chake
BAADHI ya wananchi wakitiliwa
futari maalumu, iliyoandaliwa na Banke ya PBZ kwa wateja wake, futari hiyo
iliyofanyika mjini Chake Chake.
BAADHI ya wananchi wakitiliwa
futari maalumu, iliyoandaliwa na Banke ya PBZ kwa wateja wake, futari hiyo
iliyofanyika mjini Chake Chake.(PICHA
WANANCHI wa Kisiwa
cha Pemba wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya PBZ Tawi la Pemba,
futari hiyo iliyofanyika mjini Chake Chake
MKURUGENZI Mtendaji
wa Taasisi ya Istiqama Kisiwani Pemba, Mohamed Suleiman akitoa dua kwa wananchi
Kisiwa cha Pemba ambao waliohudhuria katika futari maalumu iliyofanyika mjini
Chake Chake
No comments:
Post a Comment