Habari za Punde

Hafla ya Futari Ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Iliofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakili Kikwajuni Zanzibar na Kufuatiwa na Uzinduzi wa Taasisi ya Mimi na Wewe.

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akizungumza na kuwakaribisha Wananchi na Viongozi katika hafla ya Futari na Uzinduzi wa Taasisi ya Mimi na Wewe, kusaidia Jamii Zanzibar inayotowa Ujumbe kama si mimi ni wewe unaweza kumsaidia mwananchi wa Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakal Kikwajuni Zanzibar.
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akiwa na Mwali Abdalla Mwinyi Khamis na Wananchi wengine wakijumuika katika futari maalum ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Viongozi wa Chama na Serikali na Wananchi wakijumuika katika futari maalum ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja ilioendana na Uzinduzi wa Taasisi ya Mimi na Wewe  
Wananchi wakipata futari ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar. 
Wananchi wakipata futari ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar. 
Wananchi wakipata futari ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar. 
Wananchi wakipata futari ilioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar. 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.