Habari za Punde

Ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Kisiwani Pemba Mhe. Mohammed Aboud

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohammed Aboud Mohammed akizungumza na viongozi mbali mbali wa Serikali Wilaya ya Wete, wakiwemo masheha na Viongozi wa Chama Wilaya huko katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohammed Aboud Mohammed akizungumza na viongozi mbali mbali wa Serikali Wilaya ya Wete, wakiwemo masheha na Viongozi wa Chama Wilaya huko katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf.

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othaman, akizungumza na viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete na masheha wa Wilaya hiyo, huko katika kikao cha Pamoja juu ya mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf.
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali Kisiwani Pemba, wakimsikiliza kwa makini waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohammed Aboud Mohammed, wakati alipokuwa akizungumza na masheha na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Wete, juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf
MASHEHA na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohammed Aboud, katika kikao cha pamoja juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf. 

SHEHA wa Shehia Fundo Khamis Abeid, akichangia mada katika kikao cha Pamoja cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, huko katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.