Mshereheshaji wa hafla ya Fun Rise ya Kuchangia Watoto Yatima Zanzibar iliandaliwa na Volunteers In Development (VID) Ndg. Hamza Rijali akinadisha baadhi ya Vitu vilivyowasilikwa katika Mnada wa kuchangia Watoto Yatima Zanzibar iliofanyika katika Ukumbi wa Majid Store Kiembesamaki Zanzibar.
MWAKILISHI
wa Taasisi ya Kuchangia Watoto Yatima Abil Fauz akinadisha kasha la njumu kwa
ajili ya kuchangia Mfuko wa Watoto Yatima Zanzibar hafla hiyo imefanyika katika
ukumbi wa Majid Store kiembesamaki Unguja Kasha hilo limeuzwa kwa shilingi laki
tano katika mnada huo
SHEIKH
Othman Maalim akisoma dua wakati wa kumalizika kwa hafla hiyo ya kuchangia
Watoto Yatima Zanzibar iliofanyika katika ukumbi wa Majid Store kiembesamaki
Zanzibar.kwa kuchangia kwa njia ya kunadisha vifaa mbalimbali vilivyowasilisha
katika hafla hiyo
MMILIKI
wa Gal Ranimu Hina & Make Up Munira Said Salum akimchora mtoto wakati wa
hafla ya kuchagia Watoto Yatima Zanzibar, iliofanyika katika ukumbi wa Majid
Store kiembesamaki Zanzibar
WANANCHI
mbalimbali wakishiriki katika kununua bidhaa zilizowashilishwa wakati wa hafla
hiyo ya kuchangia Watoto Yatima Zanzibar iliofanyika katika ukumbi wa Majid
Store kiembesamaki Zanzibar
No comments:
Post a Comment