Mshambuliaji wa Timu ya Villa United FC. Mohammed Mussa akimpita beki wa Timu ya Kizimkazi wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Kwanza Taifa uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Villa United FC (Mpira Pesa ) imeshinda kwa bao 1-0.
VIJIJI 11,837 VIMEUNGANISHWA NA UMEME –DKT. BITEKO
-
Serikali imesema hadi kufikia Mwezi, Machi 2024 jumla ya vijiji 11,837 sawa
na asilimia 96.37 ya vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara vilikuwa
vimeungan...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment