Wananchi wa Zanzibar wakiwa katika harakati za kujitafutia futari katika marikiti ya mwanakwerekwe leo asubuhi.
Marikiti ya Mwanakwerekwe hali ilivyokuwa leo mwanzo mwa mwezi wa Ramadhani Kilo moja ya Nyama ya Ngombe imeuzwa kili moja shilingi 8000/= nyama safi na ya mfupa shilingi 6000/=.
No comments:
Post a Comment