Mshambuliaji wa Timu ya Kipanga akiwapita mabeki wa Timu ya Chuoni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amezindua Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Ukumbi wa Verde
Mtoni Zanzibar
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Taasisi,
alipowasili k...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment