Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Red Cross Duniani Yafana Zanzibar katika Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.

NAIBU Waziri Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mihayo Juma akiwasikiliza Maofisa wa Kikosi cha Uokoaji na Zima Mato Zanzibar wakitowa maelezo ya uokozi wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Redi Cross Duniani ilioadhimishwa katika ukumbi wa zamani wa baraza la Wawakilishi kikwajuni

NAIBU Waziri Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mihayo Juma akitembelea mabanda ya maonesho ya kuadhimisha Siku ya Red Cross Duniani ilioadhimishwa Kitaifa katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar
NAIBU Waziri Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mihayo Juma akimsikiliza Afisa wa Red Cross Mwalimu Lance Isreal akitowa maelezo jinsi ya kutowa huduma ya kwanza kwa Wananchi wanaopata ajali

VIJANA wa Red Cross wakionesha jinsi ya kutowa huduma ya kwanza wanapotowa huduma kwa wananchi waliopata ajali wakionesha onesho hilo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Red Cross Duniani iliodhimishwa kitaifa Zanzibar katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.