Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Red Cross Duniani Kufanyika Kitaifa Zanzibar.

RAIS wa Taasisi ya Tanzania Red Cross Ndg. Jecha Mwalim Jecha wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Red Cross Duniani ilioadhimishwa katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar
 NAIBU Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mihayo Juma akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Red Cross Duniani ilioadhimishwa kitaifa katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar, akimuwakilisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.